Utata mpya mtoto wa Diamond!
Hii ni tweet ya Martin Kadinda baada ya Wema Sepetu kushindwa viti maalumu Singida

Meneja wa Wema sepetu ameandika kuhusu kushindwa kwa Wema Sepetu katika uchaguzi huo…Katika Mtandao wa Twitter Martin Kadinda ameandika “Haikuwa vile tulivyotarajia… Hongera Aysharose Mattembe”.
Haikuwa vile tulivyotarajia... Hongera Aysharose Mattembe
— martin kadinda (@martinsurvivor) July 24, 2015
Diamond Platnumz ameshinda tuzo zingine mbili
FAVOURITE SONG OF THE YEAR (Nana)
FAVOURITE ARTIST OF THE YEAR
thanks alot @Africannafca

(Naomba nitumie Muda huu kuwashkuru Mashabiki zangu wote kwa Mapenzi na Sapoti yenu ya Dhati mnayoendelea kunipa…ningependa niwataarifu kuwa kijana wenu mmeniwezesha kushinda tunzo mbili ambazo ni MSANII ANAEPENDWA AFRICA na NYIMBO INAYOPENDWA AFRICA (#NaNa ) kwenye Tunzo za NollyWood & African people Choice Awards @Africannafca zitazotolewa tareh 12 /09 /2015


Nuh Mziwanda amuomba penzi Wema!
Musa Mateja
YELEUWIII! Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie, Ijumaa Wikienda linakupa ‘ubuyu’ kamili.
BETHIDEI YA SHAMSA Tukio hilo lililozua mtafaruku lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar kulipokuwa na pati ya bethidei ya mwigizaji Shamsa Ford.
TUJIUNGE NA CHANZO Kwa mujibu wa chanzo chetu ambacho kilishuhudia tukio hilo mwanzo-mwisho, saa chache baada ya kumalizika kwa shughuli ya kulishana keki, waalikwa walishangaa kumuona Shilole akiishiwa nguvu na kudondoka baada ya kusikiliza ujumbe wa sauti aliotumiwa kwenye simu.“We acha tu. Ilikuwa balaa. Watu tulikuwa katika shamrashamra ya kulishana keki, ghafla tukashangaa mwenzetu anaishiwa nguvu na kuanguka,” kilieleza chanzo.
Staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, akiwa na mpenzi wake wa sasa Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’.
SHILOLE AMFUATA NUH Chanzo hicho kilieleza kuwa, baada ya kuusikiliza ujumbe huo, Shilole alimfuata Nuh kwa ajili ya kumsikilizisha lakini Nuh alijibu ‘mbovu’ ndipo Shilole alipomuomba ufunguo wa gari waliyokwenda nayo, akarudi alipokuwa amekaa awali.
APOTEZA ‘NETIWEKI’ “Aliporudi alipokuwa amekaa, Shilole alijikuta akiishiwa nguvu na kuzimia ambapo Aunt Ezekiel na kina JB (Jacob Stephen) walipofanya kazi ya ziada kumpepea, huku wengine wakihangaika kummwagia maji kunusuru afya yake. “Walifanikiwa kumpandisha kwenye gari lake. Joto lilikuwa kubwa kufuatia hali hiyo maana kila mtu alishindwa kuelewa kilichotokea, hivyo Shilole, baada ya kuzinduka aliulizwa kilichomfanya azime ambapo aliwasikilizisha sauti hiyo kila mmoja akabaki ameduwaa,” kilieleza chanzo.
AUNT AOKOA JAHAZI Ilielezwa kuwa, mwigizaji Aunt Ezekiel ndiye aliyeokoa jahazi kwa kulazimika kuendesha gari la Shilole na kumpeleka nyumbani huku Nuh akipandishwa kwenye gari la JB kumpeleka kwa ndugu zake.
MSIKIE SHILOLE Paparazi wetu, baada ya kupenyezewa ubuyu huo, alimtafuta Shilole ili kupata habari kamili ambapo alikiri kupokea ujumbe huo wa sauti huku akiainisha kuwa umemkera kwani kuna maneno yanasikika akimponda yeye. “Inaniuma sana, Nuh kuendelea kunidhalilisha kiasi hicho wakati ni mwanaume ambaye ninamheshimu, tunakoelekea uzalendo utanishinda.
“Nilipousikiliza ujumbe ule kwa mara ya kwanza sikuamini nilichokisikia. Pamoja na Wema kuonesha wazi msimamo wa kumkataa Nuh ila mimi naona kama fedheha kubwa kwangu kwani ninamheshimu sana. “Watu wananiona mimi mkorofi lakini kama ningekuwa napenda kuweka kila jambo wazi, hakuna mtu angeendelea kunifikiria vibaya.“Siwezi tena kuendelea kuumiza moyo wangu kila kukicha,” alisema Shilole ambaye anatumikia kifungo cha Basata kwa kutojishughulisha na sanaa kwa takriban mwaka mmoja kwa kosa la kucheza nusu utupu jukwaani.
HATIMAYE NAY NA SHAMSA WAKIRI KUWA NA UHUSIANO WA KIMAPENZI
IDD AZAN AITEKA KINONDONI
HIVI NDIVYO TASWA ILIVYOMUAGA RAIS KIKWETE NDANI YA UKUMBI WA MLIMANI CITY JIJINI DAR ES SALAAM
DANSA WA DIAMOND AIBEBA TIMU YA MPIRA MTAANI KWAO
ZIZZOU FASHION YAWAPA VIFAA VYA MICHEZO CHANGANYIKENI RANGERS
![]() |
Tippo akiwa katika pozi na kocha wa timu ya Changanyikeni Rangers (katikati), na Kocha wa timu ya watoto ya Boko Beach Veterani, Maswanywa |
![]() |
Kikosi cha timu ya Boko Beach Veterani kikiwa katika picha ya pamoja muda mfupi kabla ya mchezo huo kuanza. |
TASWIRA KATIKA PICHA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ DAR ES SALAAM
Article 0
![]() |
Baadhi ya wachezaji wa Simba SC, wakishangilia goli lao baada ya kuichapa Mbeya City. |
![]() |
Kikosi cha Simba SC, na Mbeya City kikipambana kabla ya Juuko kupachika bao. |
![]() |
Wachezaji wa Simba SC, Mussa Hassani Mgosi na Juuko Murushidi wakishangilia baada ya kuifunga Mbeya City. |
KAMPUNI YA AIRTEL TANZANIA KUUNDA MUUNDO MPYA WA UTENDAJI WA KUBORESHA HUDUMA ZAKE!
![]() |
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Bi, Beatrice Singano akifafanua jambo. |
HII NDIYO KAULI YA KOCHA MPYA MBEYA CITY MUDA MFUPI BAADA YA KUKABIDHIWA KUIONGOZA TIMU HIYO!
![]() |
Kocha mpya wa Mbeya City FC, Kinah Phiri (katikati), akizuingumza jambo muda mfupi baada ya kukabidhiwa kuiongoza timu hiyo. |
DIAMOND AINEEMESHA UPYA FAMILIA YAKE!
![]() |
DIAMOND AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA MALIKIA WAKE TIFFAH NA MAMA TIFFAH ZARI THE BOSS LADY. |
![]() |
Mtoto wa Diamond, Latiffah Nasbu ‘Tiffah’ |
SOMA BARUA YA OMMY DIMPOZ UONE JINSI ALIVYOMTUKANA WAZIWAZI NAY WA MITEGO,AMBADILISHA JINA AMUITA DADA NEEMA!
![]() |
Ommy Dimpoz |
![]() |
Nay wa Mitego |
UBALOZI WA TUNDAMAN KUIVA,WASANII 12 KUKINUKISHA MWEMBE YANGA MACHI 5 KWENYE TAMASHA LA AMSHA MAMA FESTIVAL
![]() |
Baadhi ya wasanii watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo. |
WATANZANIA wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika Tamasha la ‘Amsha Mama Tanzania’ linalotarajiwa kufanyika Machi 5 katika uwanja wa Mwembeyanga Temeke jijini Dar es Salaam .
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Mkurugenzi wa Kampuni ya Candy record yenye makao Mkuu yake nchini Kenya ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo Joe mama wa Tanzania kujiinua kiuchumi .
“ Akina mama mjitokeze kwa wingi katika tamasha hili mahususi kwenu kwa kuwa mtapata fursa mbalimbali na mtaweza kupata mambo mbalimbali ikiwemo elimu” .Alisema Kariuki.
Kwa upande wake balozi wa Amsha Mama nchini Khalid Ramadhani (Tundaman), amewaomba wakinamama wachangamkie fursa kwani watajifunza mambo mengi
“Nawaomba Mama zangu mjitokeze kwa wingi kwani tumepata bahati ya pekee ya kupendelewa kuletewa tamasha nchini kwani ni adimu kutokea,” .alisema Tundaman.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika pia katika uwanja wa Ranchi ya Kedong uliopo jiji la Naivasha nchini Kenya marchi 25-27 huku likitarajia kukutanisha akinamama kutoka nchi zote za Afrika .
Aidha kutakuwa na burudani kutoka kwa wasanii kama vile Juma Kassim ‘’Juma Nature’’, Khadija Kopa, Roma Mkatoliki, Young Killer, Msagasumu, Man fungo,Sharo mwamba,Q-Chief,Mr Blue,Snura,Tundaman,na Ally Choki.
Tamasha la Amsha Mama linatarajiwa kukutanisha akinamama mbalimbali kwa lengo la kujifunza kuhusu kujikwamua kiuchumi kwani wao ndio chachu ya mafanikio.
Alisema wamejipanga kuwapa radha tofauti watoto wa temeke na majirani zake ,hasa kwa akina mama kupata fursa ya kujielewa na kujitambua hasa katika kuendeleza familia zao.
LIGI YA NAY WA MITEGO,OMMY DIMPOZ YAFIKIA HATUA MBAYA!
![]() |
Nay wa Mitego |
![]() |
Ommy DIMPOZ |
PENZI LA MBUNGE LAMTESA JOHARI!
![]() |
Muigizaji wa Bongo Muvi Blandina Chagula 'Johari', |
NAY: NAHISI KUUAWA MUDA WOWOTE!
![]() |
Picha ya Nay wa Mitego iliyoharibiwa na baadhi ya wapinzani wake kwa lengo la kumchafulia jina. |



LADY JAYDEE APEWA TARAKA YAKE RASMI

